VPL

MGAMBO, MTIBWA WACHAPWA, PRISONS WASOGEA NAFASI MBILI

Ligi kuu ya vodacom imeendelea leo kwa michezo miwili katika mikoa ya Morogoro na Mbeya, ambapo mkoani Mbeya kueshuhudia Tanzania Prisons wakiwa wenyeji wa Mgambo shooting na Morogoro Mtibwa sugar wakiwa enyeji wa JKT Ruvu.

Katika uwanja wa Manungu uliopo Turiani Morogoro, Mtibwa Sugar wamekubali kichapo cha goli 1-0 toka kwaJKT Ruvu.

Goli la JKT Ruvu lilupatikana katika kipindi cha pili baada ya Mtibwa sugar kujifungana na kuizawadia point tatu JKT Ruvu, ambao wamefikisha pointi 28.

Katika uwanja wa Sokoini mkoani Mbeya, Tanzania Prisons wamefanikiwa kujikusanyia pointi tatu baada ya kuwachapa Mgambo shooting goi 2-0.

Goli zote za Tanzania Prisons zilipatikana katika kipindi cha pili cha mchezo, na hivyo matokeo hayo yanaifanya ifikishe pointi 25 n kusogea kwa nafasi mbili toka katika nafasi ya 14 maka nafasi ya 12 katika msimanmo wa ligi kuu ya vodacom.

MSIMAMO WA LIGI KUU BAADA YA MICHEZO YA LEO

RnTimuPWDLFAGdPts
1YANGA23164347143352
2Azam FC23129233151845
3SIMBA SC24118534171741
4MBEYA CITY2471072121031
5KAGERA SUGAR248792224-231
6RUVU SHOOTING247891626-1029
7MTIBWA SUGAR2461082224-228
8JKT RUVU2477101823-528
9Coastal Union2461081623-728
10MGAMBO SHOOTING2484121827-928
11STAND UNITED2477102131-1028
12T. PRISONS2441371722-525
13POLISI MORO2451091522-725
14NDANDA FC2467111829-1125

About kj

0 comments:

Powered by Blogger.