kitaa

UJUMBE NILIO UPATA TOKA KWA MASHABIKI WA SIMBA

Habarini ndugu waandishi wa habari. Tukiwa kama mashabiki wa Simba hatujaridhishwa na hali ya timu yetu ni muda mrefu tunakuwa tunakosa makombe lakini wale viongozi wa Simba hawana lolote wanalofanya bora enzi za uongozi uliopita. 

Tunaomba mtoe katika vyombo vyenu tunataka Simba iende hatua nyingine. Tulijadiliana tukaona ndugu yetu MO anattaka kununua timu sasa kwanini tumnyime na hali ni mbaya. Tupeni msaada habari itoke...

Plz nisaidie

https://www.change.org/p/uongozi-wa-simba-tumfanye-mo-dewji-awe-mwenye-hisa-nyingi-simba?recruiter=576395378&utm_source=petitions_show_components_action_panel_wrapper&utm_medium=copylink Attac

About kj

0 comments:

Powered by Blogger.