VPL

REDONDO: TUTAIFUNGA YANGA

Kiungo Ramadhani Chombo ‘Redondo’ amewatoa hofu mashabiki wa Azam FC kwa kuwa hakikishia ushindi katika mechi zijazo za ligi kuu ukiwepo mchezo wa kesho dhidi ya Yanga utakaochezwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na tovuti ya www.azamfc.co.tz Redondo amesema wamefanya maandalizi ya kutosha kupambana na timu yoyote watakayokutana nayo.

“Timu ina hari nzuri na arikubwa, kwa kuwa tumekuwa pamoja muda mrefu, tunahitaji ushindi kwa kila mechi tunayokutana nayo ili kufikia malengo yetu, hata kama ni Yanga kwetu ushindi lazima” alisema Redondo.

Redondo ameongeza kuwa baada ya soma zaidi

About kj

0 comments:

Powered by Blogger.