Shein ranger mabingwa wa Tewa
Watoto wa Shein Rangers wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa Tewa Cup baada ya kuwachapa watoto wenzao wa Bonde FC goli 2-1, katika mchezo wa fainali uliochezwa siku ya jumapili december 11.
Twakuletea taarifa za michezo chumbani kwako
0 comments:
Post a Comment