Mabingwa wa Tanzania Bara Simba SC itaivaa Zanzibar All Stars katika mchezo wa nusu fainali la kombe la urafiki (ujirani mwema) lanaloendelea katika uwanja wa Aman uliopo Visiwani Zanzibar.
Hatua ya nusu fainali inataraji kufanyika siku ya jumatatu (julai 9) ambapo pia Azam FC watachuana na Super falcon wakati Simba wakikabiliana na All Stars.
Fainali itachezwa siku ya jumatano (julai 11) katika uwanja wa Aman Zanzibar, ambapo washindi wa michezo ya jumatatu julai 9 wataonyeshana ubabe katika kulisaka taji hilo lililoandaliwa kwa mara ya kwanza na chama cha soka Zanzibar 'ZFA'.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
3 comments:
Hello Simba, sisi kama mashabiki wa timu yetu we're praying for you to ruin any upcoming team.Hongera kwa hatua mlofikia,hapo kesho do all the best.
Simba tupeni raha leo
Simba leteni ubingwa katika mtaa wa Msimbazi
Post a Comment