Katika mchezo huo uliochezwa katika uwanja wa Gombani kisiwani humo, ulimalizika kwa sare ya goli 2-2.
Mara zote Duma walitoka nyuma na kusawazisha magoli hayo ambapo wakati wanakwenda mapumziko Jamhuri walikuwa mbele kwa goli 2-! na Duma walikuja kusawazisha goli hilo katika kipindi cha pili na mchezo kumalizika kwa sare ya 2-2.
--
MSUNI COMPUTER SOLUTION NDIO SULUHISHO LA COMPUTER YAKO
call us: +255-657-184-421
www.aboodmsuni21.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment