Waziri
wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wa Zanzibar,Mh. Said Mbarouk (wa
pili kulia) akikabidhi jezi kwa Meneja wa Timu ya Jamhuri,Abdallah
Mohamed (kushoto) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo
kwa Timu mbali mbali zinazoshiriki Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar
zinazotaji kuanza kutimua vumbi wiki ijayo,iliyofanyika mapema leo
kwenye ukumbi wa Bwawani,Zanzibar.Kulia ni Meneja Masoko wa Grand
Malt,Fimbo Butallah,akifuatiwa na Rais wa ZFA,Ravia Idarous (katikati)
pamoja na Makamu wa Rais wa ZFA - Unguja,Haji Ameir.
Waziri
wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wa Zanzibar,Mh. Said Mbarouk (wa
pili kulia) akikabidhi jezi kwa Kiongozi wa Timu ya KMKM,Said Mfaume
(kushoto) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Timu
mbali mbali zinazoshiriki Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar zinazotaji
kuanza kutimua vumbi wiki ijayo,iliyofanyika mapema leo kwenye ukumbi wa
Bwawani,Zanzibar.Kulia ni Meneja Masoko wa Grand Malt,Fimbo
Butallah,akifuatiwa na Rais wa ZFA,Ravia Idarous (katikati) pamoja na
Makamu wa Rais wa ZFA - Unguja,Haji Ameir.
Waziri
wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wa Zanzibar,Mh. Said Mbarouk (wa
pili kulia) akikabidhi jezi kwa Kiongozi wa Timu ya KMKM,Said Mfaume
(kushoto) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Timu
mbali mbali zinazoshiriki Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar zinazotaji
kuanza kutimua vumbi wiki ijayo,iliyofanyika mapema leo kwenye ukumbi wa
Bwawani,Zanzibar.Kulia ni Meneja Masoko wa Grand Malt,Fimbo
Butallah,akifuatiwa na Rais wa ZFA,Ravia Idarous (katikati) pamoja na
Makamu wa Rais wa ZFA - Unguja,Haji Ameir.
Waziri
wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wa Zanzibar,Mh. Said Mbarouk (wa
pili kulia) akikabidhi jezi kwa Katibu Kamati ya Waamuzi Zanzibar,Muhsin
Rajab (kushoto) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa
Timu mbali mbali zinazoshiriki Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar
zinazotaji kuanza kutimua vumbi wiki ijayo,iliyofanyika mapema leo
kwenye ukumbi wa Bwawani,Zanzibar.Kulia ni Meneja Masoko wa Grand
Malt,Fimbo Butallah,akifuatiwa na Rais wa ZFA,Ravia Idarous (katikati)
pamoja na Makamu wa Rais wa ZFA - Unguja,Haji Ameir.
Kutoka kwa Michuzi Blog
0 comments:
Post a Comment