mtazamo

MCHEZO WA MWISHO AZAM KUPOTEZA ULIKUWA DHID YA YANGA

https://fbcdn-photos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-ash3/t1.0-0/10011434_679580452080135_534195048_n.jpg
Na Abdallah H.I Sulayman "Msuni"

Vinara wa ligi kuu ya vodacom Azam FC jana walifikisha michezo 28 mfululizo ya ligi kuu ya vodacom kucheza bila ya kupoteza.

Azam FC mpaka sasa wamecheza jumla ya michezo 20 ya ligi kuu msimu huu wa 2013/14 bila ya kupoteza mchezo wowote ule huku wakikimbilia kuifikia rikodi ya Simba SC kumaliza ligi bila ya kupoteza mchezo ambapo Azam FC imebakisha michezo sita.

Ikumbukwe kuwa Azam FC msimu uliopita wa 2012/13 ilicheza michezo yake 8 ya mwisho ya ligi kuu ya vodacom bila ya kupoteza, ambapo walimaliza wakiwa wa pili nyuma ya mabingwa Yanga.

Mchezo wa mwisho Azam FC kupoteza ulkuwa ni dhidi ya Yanga katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, uliochezwa february 23 mwaka 2013 na ulichezeshwa na mwamuzi Hashim Abdallah ambaye alichezesha mchezo wa jana kati ya Azam na Yanga uliomalizika kwa sare ya goli 1-1.

Katika mchezo huo ulioipunguza kasi Azam FC katika mbio za ubingwa wa msimu wa 2013/14 goli la ushindi lilifungwa na kiungo aliyekosa pambano la jana kutokana na majeraha Haruna Niyonzima.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvVQ4t4l7n4duNnw68beuBviMeVAiRyu-iTrBTfIDtCNZEAPu9-SHOAfNf_IrD8Nz-akdKBSvfsFQvJoVotNksM-TMAzFyOopPTLW-JAEEzQ9m3BqiWiYCiFqHMJp03yVMocoJ1iARzaWl/s1600/%253D%253Futf-8%253Fb%253FNS5qcGc%253D%253F%253D-726811

Baada ya mchezo huo Azam FC haikupoteza tena mchezo mwingine wowote katika msimu wa 2013/14 na kufanikiwa kumaliza ligi wakiwa wa pili.

Michezo baada ya Yanga katika msimu wa 2012/13 ambayo Azam haikupoteza ni:09/03/13

VPL: Azam FC 1 - 1 Polisi Moro

27/03/13
VPL: Azam FC 3 - 0 Tanzania Prisons

30/03/13
VPL: Ruvu Shooting Stars JKT 0 - 1 Azam FC

04/04/13

VPL: Azam FC 3 - 1 African Lyon FC

13/04/13

VPL: Azam FC 2 - 2 Simba SC

27/04/13

VPL: Coastal Union SC 1 - 1 Azam FC

11/05/13
VPL: Azam FC 3 - 0 JKT Mgambo

18/05/13

VPL: JKT Oljoro FC 0 - 1 Azam FC


Michezo ya msimu huu ambayo Azam FC imecheza bila ya kupoteza
 24/08/13
VPL: MTIBWA SUGAR 1-1 AZAM FC (A.Morise) 

28/08/13 

VPL: Rhino Ranger 0-2 AZam FC A.H Mwinyi Tabora (G.Mwaikimba,A.Seif)
 
14/09/13 
 VPL: Kagera Sugar 1-1 Azam FC Kaitaba (K.Mcha)
 
18/09/13
VPL: Azam 1-1 Ashanti  Azam Comp (K.Tcheche)
 
22/09/13 
 VPL: Azam 3-2 Yanga U/Taifa (J.Bocco, K.Tcheche, J.Kimwaga)
 
29/9/13 
VPL: Prinsons 1-1 Azam Sokoine, Mbeya (K.Tcheche)
 
05/10/13 
VPL: Coastal Union 0-0 Azam Mkwakwani, Tanga
 
9/10 /13
VPL: Azam 2-0 Mgambo shooting Azam Compl (F.M Maliki, K.Tcheche)
 
13/10/13
VPL: Azam 3-0 JKT ruvu, Azam Comp (H.Mieno, E.Nyoni, S.Aboubakari)
 
19/10/13
VPL: JKT Oljoro 0-1 Azam, Sh.A Kaluta Arusha (K.Mcha)
 
28/10/13
VPL: SIMBA SC 1-2 AZAM FC (K.Tcheche)
 
02/11/13  
VPL: Azam 3-0 Ruvu shooting, Azam comp (K.Tcheche, G.Kimwaga, K.Mcha)
 
07/11 /13
VPL: Azam FC 3-3 M beya, Azam comp (H.Mieno, J.Bocco, K.Mcha)

25/01/14
VPL: AZAM FC 1-0 MTIBWA SUGAR, Azam comp (K.Tcheche)

29/01/14
VPL: AZAM FC 1-0 RHINO RANGERS, Azam comp (K.Tcheche)

02/02/14
VPL: AZAM FC 4-0 KAGERA SUGAR, Azam comp (B.Umonyi x2,K.Friday, J.Azizi)

23/02/14
VPL: AZAM FC 2-2 TANZANIA PRISONS, U/Azam comp (K.Tcheche, A.Morice)

26/02/14
VPL: ASHANTI UNITED 0-4 AZAM FC, U/Azam comp (G.Mwaikimba x2, A.Morice, S.Moradi)

15/03/14
VPL: AZAM FC 4-0 COASTAL UNION, U/Azam (K.Tcheche x2, J.Bocco, K.Friday)

19/03/14
VPL: AZAM FC 1-1 YANGA, U/Taifa (K.Friday)


Michezo iliyosalia ambayo Azam FC ikipata matokeo katika michezo hiyo watakuwa wamefikisha michezo 34 bila ya kupoteza huku wakiwa wameikamata rikodi ya Simba SC ya kuchukuwa Ubingwa wa ligi kuu ya Vodacom bila ya kupoteza
 23/03/14
VPL: AZAM FC Vs OLJORO JKT, U/Azam

26/03/14
VPL: MGAMBO SHOOTING Vs AZAM FC, Mkwakwani

30/03/14
VPL: AZAM FC Vs SIMBA SC, U/Taifa

06/04/14
VPL: RUVU SHOOTING Vs AZAM FC, Mabatini

13/04/14
VPL: MBEYA CITY Vs AZAM FC, Sokoine

19/04/14
VPL: JKT RUVU Vs AZAM FC, U/Azam


About Unknown

0 comments:

Powered by Blogger.