Timu ya taifa ya soka la wanawake Twiga stars imeeanza vibaya michuano ya All African games baada ya kukubali kichapo cha goli 1-0 toka kwa madada wa Ivory cost.
Twiga stars imecheza mchezo wake wa kwanza na kukubali kichapo hicho na mchezo ujao atacheza dhidi Nigeria hapo siku ya jumatano september 9.
0 comments:
Post a Comment