TIMU
ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imelazimisha sare ya kufungana mabao
3-3 na wenyeji Botswana mjini Gaborone katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa
ulio kwenye kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa
(FIFA).
Katika
mchezo huo, mabao ya Stars yalifungwa na Mwinyi Kazimoto, Erasto Nyoni ambaye
baadaye alitolewa nje kwa kadi nyekundu na Mrisho Ngassa.
Stars
inatarajiwa kurejea Dar es Salaam kesho baada ya mechi hiyo, na wachezaji wa
timu hiyo kujiunga na klabu zao, kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom
Tanzania Bara.
1 comments:
you hv a great sport website,but you always present insufficient details and information on topics you present!
Post a Comment