vijana

Azam Academy, Mikovilla watoa vichapo

Azam Academy na Mikovila jioni ya leo wametoka na ushindi katika viwanja vya Karume na Shule ya Msingi Ushindi katika michezo yao ya kumbukumbu ya Karume na kombe la mbuzi.

UWANJA WA KARUME


Kikosi cha Azam Academy pamoja na viongozi

Azam Academy walikwaana na Simba B katika mchezo wa kumuenzi Raisi wa kwanza wa Zanzibar Karume katika uwanja wa Karume jijini Dar es salaam.

Katika mchezo huo ulimalizika kwa Simba B kulala kwa goli 2-1 toka kwa Azam Academy.

UWANJA WA USHINDI


Wachezaji wa Mikovilla wakifanya Mazoezi kabla ya Mchezo


Katika uwanja wa Shule ya Msingi Ushindi iliopo Mikocheni jijini Dar es salaam ulishuhudia timu ya Mikovila iliyo kuwa na baadhi ya nyota wanaotarajiwa kuiwakilisha Mikovilla katika michuano ya Copa Coca Cola, iliibuka na ushindi mnono wa goli 3-0, katika muendelezo wa michezo ya kombe la mbuzi.

About kj

0 comments:

Powered by Blogger.