ABDALLAH SWAMMAD AMNYANGANYA JEZI MWADINI

Kipa wa Miembeni Abdallah Swamad amekuwa kipa bora katika michuano ya mapinduzi cup na kumpiku kipa namba moja wa timu yake ya taifa, Zanzibar heroes Mwadini Ally aliyeidakia azam fc.

Abdallah Swamad ameteuliwa kuwa kipa katika kikosi cha wachezaji 11 waliofanya vyema katika michuano ya kombe la mapinduzi iliyoshirikisha timu 8 toka visiwani Zanzibar, Bara na Kenya, ambapo timu 4 ndizo zilizotoa wachezaji kwenye kikosi hicho ambazo ni Miembeni wa tatu, Tusker wa tatu,,Simba na Azam fc kila moja wakitowa wawili na mmoja kutoka Coastal union.

Kikosi hicho kinaunwa na;

1. ABDALLAH SWAMAD -MIEMBENI
2. HIMID MAO - AZAM FC
3. ADEYUM AHMED - MIEMBENI
4. SALUM JUMA - MIEMBENI
5. MBWANA HAMISI - COASTAL UNION
6. KHALID AUCHO - TUSKER
7. HARUNA ATHUMAN - SIMBA SC
8. HUMPHREY MENO --AZAM FC
9. JESSE WERE - TUSKER
10. HARUNA MOSHI - SIMBA SC
11. ROBERT OMONUKE - TUSKER

About kj

0 comments:

Powered by Blogger.