Azam na yanga wakiwa wanapoint sawa, yanga wakiwa kileleni kwa tofauti na magoli ya kufunga na kufungwa wanataraji kukutana jumamosi katika muendelezo wa ligi kuu ya vodacom.
Yanga wao wako Bagamoyo wakijianda na mchezo huo, huku azam wakitua leo kwenye visiwa vya karafuu.
--
MSUNI COMPUTER SOLUTION TUPO PEMBA FEB 21-MACH 15
TUNAREKEBISHA COMPUTER ZILIZO KUFA
Wasiliana na HABIB KHAMIS: +255-657-148-283
www.aboodmsuni21.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment