COASTAL WAENDELEA KUIPUMULIA SIMBA

Coastal union ya Tanga wameendelea kuipumulia simba kwa kutokukubali kuachwa kwa pointi nyingi baada ya leo kuichapa goli 2-0 oljoro wakati simba wakiwafunga goli 1-0 prisons na kufikisha pointi 31 wakati coastal wakifikisha pointi 30.

Coastal union leo waliwakaribisha JKT Oljoro katika uwanja wa CCM Mkwakwani na kufanikawa kuvuna point zote 3 katika mchezo huo.

Coastal walipata goli lao la kwanza katika dakika ya 12 kupitia kwa Selemani Kassim Selembe goli lililodumu kipindi chote cha kwanza.

Katika kipindi cha pili coastal waliitimisha kalamu ya magoli kupitia kwa kapteni wa timu hiyo Jerry Santos aliyeipatia coastal goli 2 na kupelekea mchezo kumlizika kwa coastal kuibuka na ushindi wa goli 2-0.

--
MSUNI COMPUTER SOLUTION TUPO PEMBA FEB 21-MACH 15
TUNAREKEBISHA COMPUTER ZILIZO KUFA
Wasiliana na HABIB KHAMIS: +255-657-148-283
www.aboodmsuni21.blogspot.com

About kj

0 comments:

Powered by Blogger.