Jamhuri imeondoka uku wakiomba dua za wadau wa soka nchini ambao ni utaratibu wa timu zote za Tanzania zikielekea katika michezo ya kimataifa.
Jamhuri watakuwa na kibarua cha kusaka goli 4-0 mabhngwa wa Ethiopia St. George baada ya kukubali kufungwa goli 3-0 katika uwanja wa Gombani wiki mbili zilizopita.
--
MSUNI COMPUTER SOLUTION TUPO PEMBA FEB 21-MACH 15
TUNAREKEBISHA COMPUTER ZILIZO KUFA
Wasiliana na HABIB KHAMIS: +255-657-148-283
www.aboodmsuni21.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment