KAGERA, COASTAL KUIPIKU SIMBA?

Ligi kuu ya vodacom inataraji kuendelea tena kesho kwa michezo mitano huku Coastal union na Kagera sugar zenye point 27 nyuma kwa point moja toka kwa simba watakuwa na fursa ya kumpiku simba sc na kumshusha mpaka nafasi ya 5 kama rikodi mbaya katika uwanja wa Sokoine mbele ya Prisons itaendelea.


[MSUNI COMPUTER SOLUTION NDIO SULUHISHO LA TATIZA LA COMPUTER YAKO
www.aboodmsuni21.blogspot.com ]


Coastal union kesho watakuwa katika uwanja wa CCM Mkwakwani kuwakabili JKT Oljoro wakati Kagera sugar watakuwa wenyeji wa ruvushooting na simba sc wakisafiri mpaka Mbeya kuwafuata prisons.


COASTA UNION Vs JKT OLJORO

Baada ya kupoteza point 5 katika kanda ya ziwa coastal union imerejea jijini Tanga kuwangoja JKT Oljoro ambao wametokea kupokea kichapo cha goli 2-0 toka kwa ndugu zao mgambo shooting katika uwanja a mkwakwani.

Coastal yenye dhamira ya kushika nafasi za juu watakuwa na kibarua toka kwa Oljoro ambayo ndio kwanza msimu wake wa pili katika ligi kuu ya vodacon.

Endapo coastal ikishinda na simba kwenda sare amakufungwa watasogea mpaka katika nafasi ya 3 na kuiachia simba nafasi ya 4.


MICHEZO YA LIGI KUU ITAKAYOCHEZWA KESHO:

PRISONS Vs SIMBA SC, Sokoine Mbeya

JKT RUVU Vs AZAM FC, Azam complex Chamanyi Dar es salaam

COASTAL UNION Vs OLJORO, CCM Mkwakwani Tanga

KAGERA SUGAR Vs RUVU SHOOTING, Kaitaba Kagera

TOTO AFRICA Vs AFRICAN LYON, CCM Kirumba Mwanza

kagera vs ruv shooting
toto vs lyon
--
MSUNI COMPUTER SOLUTION TUPO PEMBA FEB 21-MACH 15
TUNAREKEBISHA COMPUTER ZILIZO KUFA
Wasiliana na HABIB KHAMIS: +255-657-148-283
www.aboodmsuni21.blogspot.com

About kj

0 comments:

Powered by Blogger.