MAFUNZO WATOA SARE

Mshambuliaji Jaku Juma ameiokoa timu yake ya Mafunzo kupokea kichapo cha goli 1-0 toka kwa Bandari katika mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar granda malt uliochezwa leo katika uwanja wa Amani kisiwani Unguja.

Katika mchezo huo uliomalizika kwa sare ya goli 1-1, Bandari waliandika goli la kuongoza katika dakika ya 25 kupitia kwa Mohamed Omary na kuipelekea bandari kwenda mapumziko wakiwa mbele kwa goli 1-0.

Katika kipindi cha pili Mafunzo walirejea na kupata goli la kusawazisha kupitia kwa Jaku Juma na kupelekea mchezo kwisha kwa sare 1-1.

--
MSUNI COMPUTER SOLUTION NDIO SULUHISHO LA COMPUTER YAKO
call us: +255-657-184-421
www.aboodmsuni21.blogspot.com

About kj

0 comments:

Powered by Blogger.