Katika uwanja wa Amani kisiwani Ungoja Mafunzo fc waliwakabili Malindi na kufanikiwa kukusanya point zote 3 baada ya kuwazamisha goli 2-1.
Wakati katika uwanja wa Gombani uliopo katika kisiwa cha Pemba ambapo Chipukizi waliwakabili Duma na mchezo kumalizika kwa sare ya goli 1-1.
--
MSUNI COMPUTER SOLUTION TUPO PEMBA FEB 21-MACH 15
TUNAREKEBISHA COMPUTER ZILIZO KUFA
Wasiliana na HABIB KHAMIS: +255-657-148-283
www.aboodmsuni21.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment