Mtende rangers iliyokuwa inatazamiwa kuleta changamoto mpya katika ligi kuu ya Zanzibar wakiwa ndio kwanza inashiriki ligi hiyo kwa mara ya kwanza leo wamepokea kichapo cha goli 3-1 walipo wakabili Mundu fc.
[USIUMIZE KICHWA JUU YA TATIZO LA COMPUTER YAKO,
MSUNI COMPUTER SOLUTION
NDIO SULUHISHO LA TATIZO LA COMPUTER YAKO
www.aboodmsuni21.blogspot.com]
Wakati huo huo timu ya waandirhi wa habari katika visiwa vya Zanzibar wamekubali kichapo cha goli 3-2 toka kwa baraza la wakilishi, mchezo uliochezwa katika uwanja wa Amani kisiwani Unguja.
--
MSUNI COMPUTER SOLUTION TUPO PEMBA FEB 21-MACH 15
TUNAREKEBISHA COMPUTER ZILIZO KUFA
Wasiliana na HABIB KHAMIS: +255-657-148-283
www.aboodmsuni21.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment