LIGI KUU BARA

SIMBA SC

NDONDO

YANGA SC

YANGA WATUA SALAMA GABORONE, LWANDAMINA ANENA
CAF

YANGA WATUA SALAMA GABORONE, LWANDAMINA ANENA

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya vodacom Tanzania Bara, Yanga wamewasili salama jijini Gaborone, Botswana hii leo saa tisa alasiri kwa aj...
Read More
KAGERA SUGAR WAICHAPA MWADUI NA KUSOGEA MPAKA NAFASI YA 12
VPL

KAGERA SUGAR WAICHAPA MWADUI NA KUSOGEA MPAKA NAFASI YA 12

Mabingwa wa zamani wa kombe la Tusker Kagera Sugar wameendelea kujikongoja kukwepa kushuka daraja baada ya leo kufanikiwa kushinda goli 1...
Read More
NGORONGORO KUWAKABILI MOROCCO WIKIEND HII, STARS KUELEKEA ALGERIA
TFF

NGORONGORO KUWAKABILI MOROCCO WIKIEND HII, STARS KUELEKEA ALGERIA

Timu ya Taifa ya Vijana wenye umri chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) inatarajiwa kucheza michezo miwili ya kirafiki ya kimataifa dhidi...
Read More
TWIGA STARS WAINGIA KAMBINI KUJIANDAA KUWAVAA ZAMBIA
TFF

TWIGA STARS WAINGIA KAMBINI KUJIANDAA KUWAVAA ZAMBIA

Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) imeingia kambini katika Hostel za Makao Makuu ya Jeshi la kujenga Taifa (JKT Mlalakuwa) kujiandaa...
Read More

TFF

VILABU

  • SHAURI YA KIPA WA AZAM FC KUSIKILIZWA KESHO
    Shauri la kipa wa Azam FC Razak Abalora linataraji kusikilizwa kesho katika ofisi za shirikisho la soka Tanzania baada ya hapo juzi kutoka taarifa ya kusimamishwa kwake kucheza michezo ya ligi kuu...
    Mar-04 - 2018
  • MBURUNDI KUIONGOZA CITY
    Klabu ya Mbeya City imefikia makubaliano na Kocha Nsanzurwimo Ramadhani kuwa Kocha Mkuu kwa mkataba wa awali wa Msimu mmoja wa ligi kuu ya Vodacom inayoendelea. Kocha Ramadhan ni raia wa...
    Sept-26 - 2017
  • PHIRI AACHANA NA MBEYA CITY
    Klabu ya Mbeya City FC leo tarehe 13.09.2017 imefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na aliyekuwa kocha Mkuu wake Kinnah F. Phiri. Kikao cha leo ulikuwa ni muendelezo wa vikao kadhaa baina...
    Sept-13 - 2017
  • MAJIMAJI WA MWAGIWA NOTI NA SOKABET
    Klabu ya Majimaji ya mkoani Ruvuma wamefanikiwa kupata udhamini toka katika kampuni inayojihusisha na mchezo wa kubashiri ya Sokabet  hii leo. Mkataba huo ukiwa ni wa mwaka mmoja. Majimaji...
    Sept-04 - 2017

SOKA VIJANA

MICHEZO YA NGUMI

SOKA LA WANAWAKE

RIADHA

Powered by Blogger.