Wadhamini hao wa ligi kuu ya Tanzania bara wamesema leo jijini Dar es salaam wanataka kushuhudia mzunguko wa pili wenye ushindani wa kweli huku wakitaka kutoshuhudia upangaji wa matokeo katika duru hilo la pili.
Wakati vodacom wakisema hayo, mtandao (website) itakayo kuwa inazungumzia ligi kuu ya Tanzania bara imezunduliwa, ambayo ni www.ligikuu.co.tz
Website hiyo itakuwa na taarifa na matukio yanayohusiana na ligi kuu ya Tanzania bara.
0 comments:
Post a Comment