Yanga watacheza na Black leopards ya Afrika kusini mchezo unao ratibiwa na Prime time promosheni, utakao chezwa katika uwanja wa taifa ukitanguliwa na mchezo kati ya Yanga Veterani na watangazaji wa Clouds fm.
Black leopards wamewasili jana jijini Dar es salaam teyari kuwavaa vinara hao wa ligi kuu ya vodacom waliopoteza michezo miwili na kutoa sare mmoja katika ziara yao ya Uturuki.
0 comments:
Post a Comment