Bausi alitolewa katika michuano ya chalenge kwa mikwaju ya penati na Kenya, na leo usiku atapata fursa ya kulipa kisasi katika ngazi ya vilabu, pale timu pekee ya visiwani iliyosalia katika mashindano Miembeni itakapo wakabili wakenya pekee katika mashindano hayo Tusker.
Tusker imefikia hatua hiyo ya nusu fainali baada ya kuongoza kundi A wakati miembeni wakitokea kundi B wakiwa wa pili
0 comments:
Post a Comment