10. SAID BAHAMUZI
Bahanuzi alitamc na mtibwa sugar mwanzoni mwaka na kuishawishi yanga insajili na kuanza vyema katika michuano ya kagame na kuwa gumzo kwenye vyombo vya habari.
Kushindwa kwake kuonyesha makali katika ligi kulimwendelezwa kvajwa mpaka pale ligi ilipofika kati ya mzunguko wa kwanza.
9. MBWANA SAMATA
Mtanzani anae kipiga TP Mazembe Mbwana alitamba kwenye vyombo vya habari pale taifa stars ilipo fungwa goli 2-1 na ivory coast na mwishoni mwa mwaka pale walipo shindwa kucheza na zambia kwa kuwa majeruhi.
Kiwango alichokuwa anakionyesha akiwa mazembe kulifanya jina lake lisi raulike kwa vyombo vya ha bari.
8. SHOMARI KAPOMBE
Nuru mpya ya Tanzania imemuangukia Kapodbe ambaye alitawazwa kuwa mchezaji bora wa taswa mwaka 20!1
Jina la chipukizi huyu lilitamba katika dirisha la usajili baada ya kuhusishwa kujiunga na yanga.
7. JOHN BOCCO
Mshambuliaji wa azam Bocco alitawala vyombo vya habari pale alipotangaza kustaafu kutumikia timu ya taifa uwamuzi aliokuja kumdosha na kurejea kwenye kikosi kwa kasi ya ajabu kwa kuifungia goli 5 stars.
Uhodari wake wa kucheka na nyavu akiwa kati uzi wa azam ulimpelekea kutajwa sana kwenye vyombo vya habari.
6. NADIR HAROUB CANNAVARO
Beki asiyesifiwa toka unguja Nadir alitawala katika vyombo vya habari katika masakata mawili ambayo yalimuuzisha ambayo ni kumpiga mwamuzi katika mchezo kati ya yanga na azam na kuchukua hela ya ushindi wa tatu0na kugawana na wachezaji wenzake wa Zanzibar heroes.
Nadir alipamba vyombo vya habari pale alipo achwa na kurejeshwa katika0kikosi cha taifa stars.
5. EMMANUEL OKWI
Mshambuliaji toka Uganda, Emanuel Okwi aliongeza shinikizo la mapinduzi ya viongozi katika timu ya yanga baada ya kuiongoza simba kuichapa goli 5 yanga na kutwaa ubingwa.
Okwi alitawala kwenxe vyombo vya habari pale alipo husishwa na kwenda yanga na vilevile alipokuwa katika majaribio barani ulaya.
4. MRISHO KHALFAN NGASSA
Jina la Ngassa lilipotea mwanzoni mwa mwaka katika vyombo vy habari lakini likaibuka katikati ya mwaka katika michuano ya kagamekatika sakata la kubusu nembo ya yanga akiwa azam.
Sakata hilo lilipelekea kuwekwa sokoni na kuchukuliwa na simba kwa mkopo, taarifa iliyotawala kwenye vyombo vya habari.
Ngassa alitawala tena mwishoni mwa mwaka baada ya kufanya vyema katika michuano ya chalenge nchini Uganda na kupnwa na almereikh ya Sudan, ambapo kulibuka sitofahamu nyingi kuliko pelekea Ngassa kukataa kujiunga na timu hiyo.
.
3. PATRICK MUTESA MAFISANGO
Marehemu Mafisango jina lake lilitawala katika mwanzo mwa mwaka kabla ya kufariki, ambapo kifo, mazishi na baada ya mazishi yaliacha gumzo katika vyombo vya habari.
Ilikuwa ni nadra kulikosa jina la mafisango siku baada ya mchezo ya simba katika mwaka huu kabla ya kifo chake.
Alikuwa anafunga magoli muhimu na wakati mwingine alikosa penati muhimu nakuipa simba ushindi na kuinyima.
2. KELVIN YONDAN
Beki huyu anae aminika kuwa mlinzi bora nchini wa kati kwa sasa, alitawala kwemye vyombo vya habari katika sakata lake la kujiunga na yanga akitojea simba.
Sakata la yondani liliuza sana magazeti kuanzia pale kuwa tetesi na baada ya kusaini mkataba wa kuitumikia yanga.
Jina la Yondani lilirejea kwenye vyombo vya habari mara baada ya kukanyagwa na Haruna Moshi katika mchezo kati ya simba na yanga.
1. MBUYU TWITTE
Beki toka kwa Paul Kagame mwenye asiki ya DRC anaekipiga yanga Twitte alizigonganisha simba na yanga baada ya kueanya vyema katika michuano ya Kagame cup akiwa na APR.
Twitte alitawa kwenye vyombo vya habari vya bongo wakati michuano ya kagame ikiendelea jijini Dar es salaam huku akihusishwa kujiunga na simba sc, ambapo hakujivnga napo huku akidaiwa teyari amesha saini simba wakati ana saini yanga, taarifa iliyo uza zaidi kwa upande wa wachezaji katika magazeti ya bongo.
Uwezo wake uwanjani ulizidisha utajo wake katika vyombo vya habari akianza kucheza kama mlinzi wa upande wa kulia na kuingia kati pale yondani alipo umia. Alikuwa anafunga magoli muhimu kwa yanga na kerho yake kutawala kwenye magazeti.
0 comments:
Post a Comment