Wachezaji wa Zanzibar heroes waligawana na zawadi ya mshindi wa tatu katika kombe la chalenge iliyofanyika mwishoni mwa mwaka jana jijini Kampala Uganda kitendo kilicho wakera chama cha soka cha Zanzibar ZFA na kuwataka wachezaji kurejesha pesa hizo na wale waliokaidi walitishiwa kufungiwa.
Taarifa iliyo naswa na Ally zinasema wachezaji waliorejesha pesa hizo wamerejeshewa pesa hizo.
0 comments:
Post a Comment